Jump to content

User:Sylvester mnanka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sylvester Mnanka David, alizaliwa Katika mji waTarime mjini kata ya sabasaba mtaa wa magamaga Kwa Sasa baada ya kugawanywa ukapatikana mtaa wa Samaltani, Sylvester NI mtotowa Kwanza kwa Tumbo la mama na. Baba mmoja Baba akiitwa Mnanka David magogo ambaye NI Kada WA Chama cha Mapinduzi CCM na mjumbe wa Nyumba kumi kumi , na mama yake akiitwa Nyanswi mnanka Mwita Katika Tumbo la mama yake walizakiwa watoto wanne yeye akiwa wakwanza 1999 ndipo alizaliwa akifatiwa na Bhoke mnanka david, Rhobi mnanka david, Mwita mnanka david. Kwa sasa Sylvester NI Mjasilimali Yuko Dar es salaam Kwa ajiri ya kunitafuta kimaisha.